4 Mar 2015

KUELEKEA MECHI YA WATANI WAJADI

Kocha wa Simba, Goran Kopunovic ameamua kuwapumzisha wachezaji wake kesho.

Wachezaji wa Simba watafanya mazoezi kesho jioni baada ya mazoezi makali ya leo visiwani Zanzibar.

No comments:

Post a Comment